Thursday, June 4, 2015

WANAFUNZI WA KIBITI SEC SCHOOL WAANZA LIKIZO

kwa mujibu wa kalenda ya mkoa wa Pwani shule zote za secondary zina taarajia kuanza rikizo ndefu mwishoni mwa wiki hii. baada ya mitihani ya mkoa wanafunzi leo wamenaza kusambaa kwenda majumbani kupumzika kuashiriakumalizika kwa muhula wa pili wa masomo.

No comments:

Post a Comment