Sunday, June 7, 2015

KIBITI SECONDARY YA POKEAA WAGENI VIJANA.

Vijana hao kutoka sehemu mbali mbali hapa nchini wamekuja kwa hiyali yao KA ajiri ya kujitolea sehemu ya muda wao kuwasaidia wana Kibiti secondary school.
Watakuwepo kwa muda Wa takriban week Mbili hadi Tatu. Nakatika muda huo wote watafanya shughuli mbalimbali ikowamo kusahisha mazingira na zingine kadili watavyo elekezwa na mwalimu mwenyeji Wao Karibu ni saana vijana katika jumuiya ya Kibiti secondary school.

No comments:

Post a Comment