Saturday, June 13, 2015

HATIMAYE PANEL MARKING YA MALIZA KAZI

Jopo la walimu Wa Kibiti secondary walio kuwa wakisahihisha na kuandaa report za watoto wakamilisha zoezi na kuanza lasmi rikizo zao Leo tar 13/6/2015 mkuu Wa shule kawashukuru saana kwa umoja walo onesha had kazi kuishi kwa wakati na kuwatakia likizo njema wenye likizo na weekend njema kwa wasio na likizo.

No comments:

Post a Comment